
Mganga Mkuu wa Hospitali Teule ya Rufaa Mkoa wa Songwe, Dr Lulandala
Akizungumza na wanahabari ofisini kwake Dr Lulandala amewataka wananchi kuzipuuza taarifa hizo kwani si za kweli na ikiwa kuna mwananchi ametozwa kiasi hicho anatakiwa kutoa taarifa ili swala hilo lichukuliwe hatua kikamilifu.