Picha ya pamoja ya wasanii Country Wizzy kushoto, na Moni Centrozone kulia
Moni Centrozone ameeleza kwamba kwa bara la Africa anamkubali zaidi Jay Moe na dunia kwa ujumla anamkubali rapa J Cole.
Katika orodha yake hiyo ambayo ameiweka kwenye 'Insta Story' yake amewataja wasanii wafuatao
1. J Cole
2. Jay Moe
3. Kendrick Lamar
4. Nas
5. Marehemu Albert Mangwea
6. Marehemu BIG Notorious
7. Jay Z
8. Prof Jay
9. Kanye West
10. Post Malone