
Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Etienne Ndayiragije akitoa maelekezo.
Kocha mkuu wa Taida Stars, Etienne Ndayiragije atatangaza kikosi Oktoba 2, 2020.
Taifa Stars inajiwinda na mechi za kufuzu fainali za Kombe la Dunia la 2022, Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) na Fainali za michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) zitakazofanyika mwakani .