
Mfalme Zumaridi
katika eneo hilo ambalo ni makazi ya watu na kusababisha usumbufu kwa majirani.
Aidha Zumaridi anaendelea kuhojiwa juu ya video yake inayosambaa mitandaoni akiwa na kundi la watoto wadogo wa kike na wa kiume akiwaeleza kuwa yeye ndiye Mungu wao ambaye ana uwezo wa kuwatenganisha na kifo.
Jeshi la Polisi Mwanza limesema uchunguzi juu ya tukio hilo unaendelea, na kwamba litashirikiana na taasisi nyingine za serikali.