Rais Dkt John Pombe Magufuli na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi.
Ikumbukwe kuwa Balozi John Kijazi ni Katibu Mkuu Kiongozi.
Aidha Rais Dkt Magufuli amemteua Mhandisi Florian Kabaka kuwa Mwenyeki wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA), uteuzi wa viongozi hao umeanza jana Februari 26, 2020.

