Mtulia anasema sababu kubwa ya yeye kuamua kujiuzulu nafasi ni kwakuwa ameamua kuungana na Rais Magufuli baada ya kuona kwamba anafanya na kutekeleza mambo mengi ambayo upinzani uliahidi kufanya...
Soma barua yake hapo chini kwa undani zaidi
Tazama hapa Mtulia akielezea