Together Tunawakilisha
Home

YOU ARE NOT LOGGED IN
  • Login
  • or
  • Sign Up
  • Dashboard
  • Logout
  • Home
  • Shows
  • News
    • Currrent Affairs
    • Entertainment
    • Sport
    • Business
    • Life & Style
  • Gallery
  • Schedule
  • Namthamini

Tamasha la Kili Music Tour 2014 ndani ya Kahama

You are here

  1. Gallery
Submitted by Anonymous on Jumatatu , 16th Jun , 2014
Rich Mavoko akiwa na washeza shoo wake wakiwa wamekaa backstage wakisubiria kupanga kwenye jukwaani.
Kundi la Weusi na Jambo Squad wakiwa kwenye picha ya pamoja backstage.
Kundi la Weusi na Jambo Squad kabla ya kupanda kwenye jukwaa la Kili Music Tour ndani ya mji wa Kahama.
Umati mkubwa wa wakazi wa Kahama uliojitokeza na kufurahia tamasha la Kilimanjaro Music Tour 2014 lililofanyika Uwanja wa Halmashauri ya Kahama.
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Shilole a.k.a Shishi Baby akiwapagawisha wakazi wa Mji wa Kahama.
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Shilole a.k.a Shishi Baby akinengua jukwaani.
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Rich Mavoko akiwajibika jukwaani.
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Rich Mavoko akiwajibika jukwaani huku akisindikizwa na wacheza shoo wake.
Umati mkubwa wa wakazi wa Kahama uliojitokeza na kufurahia tamasha la Kilimanjaro Music Tour 2014. Wakazi wa kahama wakishangiria burudani toka kwa wasanii mbalimbali.
Wasanii wa Kundi la Jambo Squad toka Jijini Arusha wakiwasha moto kwenye jukwaa la kili music tour ndani ya Kahama.
Wasanii wa Kundi la Jambo Squad toka Jijini Arusha wakiwapagawisha wakazi wa Kahama wakati wa tamasha la Kilimanjaro Music Tour 2014 lililofanyika Uwanja wa Halmashauri ya Kahama.
Wasanii wa Kundi la Jambo Squad juu ya jukwaa la kili music tour kahama.
Msanii wa muziki wa dansi, Christian Bella akitoa burudani kwa wakazi wa Kahama.
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Ay akiwapa burudani ya aina yake wakazi wa mji wa Kahama wakati wa Tamasha la Kilimanjaro Music Tour 2014 lililofanyika Uwanja wa Halmashauri ya Kahama.
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, MwanaFA akiwachezesha bila kukunja goti wakazi wa mji wa Kahama wakati wa Tamasha la Kilimanjaro Music Tour 2014.
Mwana FA na AY wakitoa burudani ya nguvu kwa mashabiki wao wa Kahama.
Wasanii wa Kundi la Weusi linaloundwa na Joh Makini, Nikki 2, G-Nako toka Jijini Arusha wakifanya onyesho la aina wakati wa wa tamasha la Kilimanjaro Music Tour 2014 lililofanyika Uwanja wa Halmashauri ya Kahama.
Wasanii wa kundi la Weusi Nikki 2 na G-Nako wakiwapa burudani wakazi wa Kahama.
Kundi la Weusi wakitoa burudani kwa wakazi wa Kahama wakati wa shangwe za Kili Music Tour 2014.

Recent Gallery

EATV JOGGING
EATV KINARA 2023
WASHINDI NA ZAWADI
FAINALI GAME 3 (Best of 5) Mchenga Bingwa 2019
Fainali Game 2 (Best of 5)
Fainali Game 1 (Best of 5)

TOP STORIES

Current Affairs
Chadema kuna chuki, Najivua uanachama - Kinabo

Kardinali Robert F. Prevost

Current Affairs
Kanisa Katoliki lapata Papa mpya
Current Affairs
Tanzania haijafanya kosa lolote - Balozi Kombo

Joseph Kasheku (Msukuma) - Mbunge wa Geita vijijini

Sport
Inacheza bodi ya ligi au Yanga? bodi iundwe upya

MOST POPULAR

Dance 100% 2013
Kili Music Tour Songea yavunja rekodi
Tamasha la Kili Music Tour 2014 mjini Moshi
Tamasha la Kili Music Tour 2014 ndani ya Kahama
KILIMANJARO MUSIC TOUR 2014 -IRINGA

ABOUT US

  • About us
  • Advertise
  • Jobs
  • Terms & Conditions
  • Contact Us
  • Frequently Asked Questions

Network

  • IPP MEDIA
  • EAST AFRICA RADIO
  • ITV
  • RADIO ONE
  • CAPITAL RADIO
  • LOKOPROMO

©  East Africa Television Limited. All Rights Reserved

  • Main menu
    • Home
    • Shows
    • News
      • Currrent Affairs
      • Entertainment
      • Sport
      • Business
      • Life & Style
    • Gallery
    • Schedule
      • Awards
      • BBALLKINGS
      • Dance100
    • Namthamini
  • Search
  • Main menu
    • Home
    • Shows
    • News
      • Currrent Affairs
      • Entertainment
      • Sport
      • Business
      • Life & Style
    • Gallery
    • Schedule
      • Awards
      • BBALLKINGS
      • Dance100
    • Namthamini
  • Search