Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Salum Mayanga
Aidha, kikosi hicho kina sura ya tofauti kabisa na kile walichokizoea mashabiki wa soka pamoja na watanzania huku kikiongozwa na Nahodha machachari Mbwana Samatta anayekipigia nchini Ubelgiji katika klabu ya KRC Genk.