Kawhi Leonard, kushoto, akijaribu kuumiliki mpira wakati left, Stephen Curry naye akijaribu kumkaba
Akichezea kwa mara ya kwanza Golden State Warriors, Kevin Durant, alifunga pointi 27 na mipira iliyorudi 10, lakini mambo yalikuwa magumu, na hivyo timu yake hiyo mpya kupoteza mchezo huo.
Na katika mchezo mwingine mkubwa wa usiku wa kuamkia leo, LeBron James aliwasaidia mabingwa watetezi wa NBA, Cleveland Cavaliers, kuifunga New York Knicks, kwa vikapu 118-88.


