![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/1_33.jpg?itok=M8vlrRme)
Brand Manager wa Tusker lite Bi Anitha kutoka makampuni ya Serengeti breweries Limited akitoa neno la shukrani kwa wageni waliofika katika hafla ya marketers night.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/3_29.jpg?itok=E4ENxQRA)
Mwakilishi kutoka kampuni ya vyombo vya habari vya citizen akitoa neno la shukrani katika hafla ya marketers night.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/4_30.jpg?itok=lGTRNx2v)
Manager wa Dstv Bi Furaha. akizungumza na wawakilishi wa makampuni mbalimbali waliofika kwenye hafla hiyo kuhusu mahusiano ya biashara mbaimbali.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/5_2.jpg?itok=sFgZyY30)
Mgeni rasmi katika hafla hiyo Bw Pepe Minambo kutoka Congo akizungumza na marketers wa makampuni mbalimbali juu ya umuhimu wa kua na mahusiano mazuri na kua na bidii ya kazi.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/9_1.jpg?itok=ru409f8D)
Bw. Alex Galinoma mratibu Katika kampuni ya East Africa Television akitooa neno la shukrani katika hafla hiyo kutoa shukrani kwa wageni waliofika katika hafla hiyo.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/5_3.jpg?itok=O3CEExzS)
Pepe Minambo akisisitiza jambo wakati wa hafla hiyo iliyokutanisha Maketers wa makampuni mbalimbali Tanzania hususan Dar-es salaam.