Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yote unayotaka kujua, msimu mpya wa Ligi Kuu

Jumatano , 3rd Aug , 2022

Msimu mpya wa Ligi kuu soka Tanzania bara NBC Premier League 2022-23 utaanza kutimua vumbi rasmi Agosti 15, 2022. Na Ligi itamalizika Mei 27, 2023. Ligi ina jumla ya timu 16 na itachezwa jumla ya michezo 240 kukamilisha msimu.

Mchezo wa raundi ya kwanza wa Simba na Yanga Dabi ya Kariakoo utachezwa Oktoba 23, 2022

Ligi itafunguliwa rasmi Agosti 13 kwa mchezo wa ngao ya Jamii ambao utazikutanisha timu za Kariakoo Simba na Yanga na siku mbili baadae rasmi Ligi itaanza. Michezo ya raundi ya kwanza itachezwa kwa siku 3 Agosti 15, 16 na 17.

Agosti 15 itachezwa michezo miwili timu ya Ihefu ya jijini Mbeya watakuwa wenyeji wa Ruvu Shooting ya Pwani, Namungo FC ya Lindi wataminyana na Mtibwa Sugar ya Morogoro. Agosti 16 itachezwa michezo 3, Singida big Stars  ya Singida watakuwa wenyeji wa Tanzania Prisons ya Jijini Mbeya, Polisi Tanzania ya Moshi Kilimanjaro watawakaribisha mabingwa watetezi wa Ligi Yanga SC na Dodoma jiji wataminyana na Mbeya City.

Raundi ya kwanza itakamilishwa Agosti 17 kwa michezo 3 ambapo Coastal Union ya Tanga watakuwa wenyejeji wa KMC FC ya Dar es salaam, Simba SC watawaarika Geita Gold FC ya mkoani Geita na Azam FC ya Dar es salaam watacheza dhidi ya Kagera Sugar ya Bukoba Kagera.

Mchezo wa raundi ya kwanza wa watani wa jadi Simba na Yanga Dabi ya Kariakoo utachezwa Oktoba 23, 2022 mchezo huu utachezwa uwanja wa Benjamini Mkapa Dar es salaam. Kwa mujibu wa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi TPLB Almas Kasongo amesema upangaji wa ratiba ya msimu huu umezingatia kalenda ya michuano ya kimataifa ya FIFA na CAF lakini pia michuano ya Mapinduzi Cup na Ligi itasimama kwa vipindi 17 tofauti kupisha kalenda za CAF na FIFA.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali