Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga waifata Namungo FC kwa Ngege

Jumatano , 12th Mei , 2021

Kikosi cha mabingwa wa kihistoria wa Tanzania bara Yanga SC, kimefika salama Mkoani Mtwara leo Asubuhi, ikiwa ni maandalizi kueleka mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara dhidi ya Namungo.

Wachezaji wa Yanga Saidi Ntibazonkiza kulia na Fiston Abdul Razak kushoto wakiwa uwanja wa ndege wa Mtwara

Mchezo huu utachezwa siku ya Jumamosi Mei 15, 2021 katika dimba la Majaliwa huko Ruangwa mkoani Lindi. Yanga inashika nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania bara ikiwa na alama 57 ikiwa ni tofauti ya alama 4 dhidi ya Simba amabao ndio vinara wa VPL, wakati Namungo wapo nafasi ya 11 wakiwa na alama 32.

Yanga itashuka dimbani kwa mara ya kwanza tangu Aprili 30 ambapo ilicheza mchezo wa kombe la Shirikisho dhidi ya Tanzania Prisons mchezo ambao walishinda kwa bao 1-0. lakini baada ya hapa walipaswa kucheza dhidi ya watani zao Simba Mei 8 mchezo ambao ulihairishwa kutokana na mkanganyiko wa ratiba na sasa utapangiwa tarehe mpya.

Namungo kwa upande wao kabla ya mchezo dhidi ya Yanga siku ya Jumamosi, leo wanakibarua Saa 10:00 jioni katika dimba la Majaliwa dhidi ya Mtibwa Sugar.

Na kwenye rekodi kuelekea mchezo wa Namungo dhidi ya Yanga zinaonyesha, kwenye michezo mitatu ya ligi waliokutana hakuna timu iliyoshinda mchezo hata mmoja michezo yote ilimalizika kwa sare ikiwemo mchezo wa mkondo wa kwanza msimu huu ambao ulimalizika kwa sare ya mabao 1-1.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali