Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yaweka wazi mpango wake dhidi ya Kengold FC

Ijumaa , 26th Feb , 2021

Mabingwa wa zamani wa kombe la Shirikisho nchini, Klabu ya Yanga kesho tarehe 27 Februari 2021 mishale ya saa 10:00 jioni inatazamiwa kushuka dimbani kukipiga dhidi ya klabu ya Kengold ya Chunya, jijini Mbeya kwenye mchezo wa mzunguko wa nne wa michuano hiyo.

Baadhi ya wachezaji wa Yanga, wakishangilia moja ya bao kwenye VPL msimu huu.

Kuelekea kwenye mchezo huo, Kocha wa klabu ya Yanga, Cedric Kaze amesema, “Kwenye mchezo wa mtoano, kila mtu anauwezo wa kujitolea kwenye dakika tisini bila kujali anatakea kwenye ligi daraja la ngapi.”

“Sasa ni mechi ambayo tutaicheza kwa tahadhari kubwa kwani tumejiandaa vizuri kwasababu tunajua kama Kengold ni timu ambayo ipi kwenye muelekeo mzuri.”

Kengold ipo nafasi ya tatau baada ya kucheza michezo kumi, sare mchezo mmona na kupokea vipigo vinne na kuwafanya kufikisha alama 16 wakati, Yanga ni kinara wa VPL akiwa na alama 49 licha ya kuwa michezo mitatu mbele ya mabingwa watetezi, Wekundu wa Msimbazi Simba.

Kwa upande wa wachezaji, kinara wa mabao wa klabu ya Yanga, kiungo, Deus Kaseke amesema “Kila mchezaji ana nia na hamu ya kucheza mechi hiyo na nina amini tutashinda kwa uwezo wa Mwenyeenzi Mungu.”

Kuhusu hali ya wachezaji, inaelezwa kuwa mshabuliaji Said Ntibazonkiza huenda akaendelea kukosekana kikosini kutokana na majeraha ilhali mshambuliaji Yacouba Sogne amerejea na kufanya mazoezi ya pamoja na timu.

Michezo mingine ya Shirikisho itakayopigwa hapo kesho, ni Polisi TZ dhidi ya Kwamndolwa saa 8:00 mchana pamoja na ule wa Azam watakapowakaribisha Mbuni kwenye dimba la Chamazi jijini Dar es Salaam saa 1:00 usiku.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu