Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga SC yaishtumu TFF kuihujumu

Ijumaa , 19th Feb , 2021

Klabu ya Yanga kupitia kwa Makamu wake Mwenyekiti Fredrick Mwakalebela, imesema haitendewi haki na mamlaka za soka nchini.

Kaimu Mwenyekiti wa Yanga, Fredrick Mwakalebela akiongea na Wanahabari mchana wa leo kuelezea malalamiko yao ya kuhujumiwa.

Mwakalebela ameyasema hayo leo Februari 19, 2020 kupitia mkutano na waandishi wa habari, ambapo amesema kutotendewa haki huko kunasababisha wakose matokeo mazuri kwenye ligi kuu soka Tanzania bara.

''Sisi Yanga hatutendewi haki na vyombo vinavyosimamia mpira, TFF, Bodi ya Ligi, Kamati ya Saa 72, Kamati ya Waamuzi na mamlaka nyingine za soka, ndio maana tumekuwa tukipoteza pointi kwenye mechi nyingi'', amesema Mwakalebela.

Aidha ameongeza kuwa, ''Tumenyimwa penati dhidi ya Mbeya City, dhidi ya Kagera Sugar na mwisho tunakuwa tunakosa pointi katika hali ya kuonewa mpaka tunajiuliza kuwa, je, kwa mazingira haya kuna bingwa ameandaliwa?''.

Pia ameeleza kuwa endapo wataendelea kutendewa hayo basi watafikiria kujitoa. ''Kwa haya tunayofanyiwa na mamlaka mpaka tunajiuliza kama kuna bingwa ameandaliwa basi sisi tuondolewe kwenye ligi basi apewe ubingwa wake''.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali