Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga SC yafika Mwanza, tayari kuivaa Mbao FC

Alhamisi , 27th Jan , 2022

Kikosi cha timu ya wananchi Yanga SC kimefika jijini Mwanza tayari kwa mchezo wa raundi ya 4 wa kombe la shirikisho Tanzania bara Azam Sports Federation Cup dhidi ya Mbao FC.

Mashabiki wa Yanga SC jijini Mwanza wakimlaki kocha Nasreddine Nabi uwanja wa ndge baada ya timu kufika

Yanga itashuka dimba siku ya Jumamosi Januari 29 kuchza dhidi ya Mbao FC mchezo utakaochezwa katika dimba la CCM kirumba majira ya Saa 10:00 jioni. Awali mchezo huu ulipaswa kuchezwa jijini Dar es salaam kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa lakini siku hiyo uwanja huo utakuwa na matumizi mengine hivyo wenyeji wa mchezo huu klabu ya Yanga ikachagua uwanja wa CCM Kirumba kama uwanja wao wa nyumbani.

Timu ya wananchi wanaelekea kwenye mchezo huu wakiwa na rekodi nzuri dhidi ya Mbao kwani kwenye michezo 5 ya mwisho waliokutana na Yanga wameshinda michezo yote ukiwemo mchezo wa mwisho timu hizi kukutana Machi 20, 2020 mchezo ambao Yanga ilishinda kwa mabao 2-1.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali