Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga kuvunja benki kumsajili Clatous Chama

Jumatano , 24th Nov , 2021

Vyanzo kutoka nchini Ghana vinaripoti kuwa, Klabu ya Yanga ipo tayari kutoa kiasi cha shilingi bilioni moja ili kumsajili kiungo wa zamani wa Simba SC, Clatous Chama anayekipiga kwenye klabu ya RS Berkaine ya Morocco.

(Kiungo Clatous Chama alipokuwa na Simba SC msimu uliopita)

Taarifa hizo zimeripotiwa kutoka kwa Mwanahabari wa michezo nchini Ghana, Micky Jr ambaye ameandika kwenye akaunti zake za mitandao ya kijamii kuwa, pamoja na dau hilo lakini Chama yupo tayari kijiunga na Simba na sio Yanga.

Micky Jr ameandika kuwa; “Naelewa YangaSCwapo tayari kulipa kiasi kinacho karibia shilingi bilioni moja kwa Clatous Chama na wakala wake ili achague kujiunga nao na sio Simba SC”.

“Chama anataka kurejea Simba ambapo alichukuliwa kama mfalme. Mwenyekiti wa Simba alipokea simu kuyoka kwa Chama wiki mbili zilizopita” ameandika Micky Jr.

Taarifa hizo zimeshika kiasi kutokana na Chama kupata wakati mgumu wa kuzoea mazingira ya nchini Morocco jambo linalomfanya akose nafasi ya uhakika kwenye kikosi cha kwanza chini ya Kocha Florent Ibenge.

Chama amekosa michezo michezo mitatu mfululizo ya RS Berkaine huku miwili ya iliyopita alikuwa anatokea benchi ilhali Tuisila kisinda winga aliyetokea Yanga amekuwa akipata nafasi mara nyingi kucheza

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA