Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

waziri mkuu,Majaliwa apongeza mageuzi ya soka nchi

Ijumaa , 10th Sep , 2021

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Kassim Majaliwa leo Bungeni, amewapongeza Wawekezaji na Watendaji wa vilabu vya Simba SC,Yanga SC pamoja na Azam FC kkwa uwekezaji mkubwa na usimamizi mzuri wa vilabu hivyo kwenye soka letu ambalo limeanza kuzaa matunda.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Kassim Majaliwa akiongea akiwa bungeni leo jijini Dodoma.

Sambamba na pongezi hizo Mh. Majaliwa ameupongeza uongozi wa Shirikisho la soka nchini (TFF) chini ya Rais wake, Wallace Karia kwa usimamizi mzuri wa soka nchini.

Pia Waziri mkuu amesema kuwa Serikali itaendelea kuimarisha na kuvutiwa wawekezaji katika tasnia ya michezo lengo ni kukuza vipaji na kuibua vipaji mbali mbali ilikuweza kushindana katika soko la ndani na nje ya nchi na hivyo kuimarisha ajira, mapato yatokanayo na mchezo pamoja na mchango katika sekta hiyo.

Kwa upande mwingine, waziri Majaliwa ameipongeza timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars kufuatia ushindi dhidi ya Madagascar siku ya Jumanne na hivyo kuongoza kundi J kwenye mzunguko wa pili kuwania kufuzu michuano ya kombe inayotajari kufanyika nchini Qatar 2022.

Kuelekea mashindano ya COSAFA kwa upande wa wanawake yanayotarajia kuanza tarehe 28 Septemba mwaka huu, Mh. Majaliwa amewatakia kila la kheri Twiga stars kwenye michuano hiyo itakayofanyika nchini Afrika Kusini.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi