Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wazawa wanafunga kuliko wageni, Ligi Kuu

Jumatatu , 24th Jan , 2022

Ligi Kuu soka Tanzania bara ikiwa inaendelea kushika kasi tukiwa raundi ya 13, mbio za kuwania kiatu cha dhahabu cha mfungaji bora nazo zinaendela, mshambuliaji wa Namungo FC Reliant Lusajo ndio kinara wa ufungwa akiwa na mabao 7 na Yanga ndio timu iliyofunga mabao mengi 23 mpaka sasa.

Reliant Lusajo kulia ana mabao 7 ndio kinara wa ufunga, akifuatiwa na Fiston Mayele kushoto mwenye mabao 6.

Mpaka sasa kwenye Ligi kuu NBC Premier League yamefungwa jumla ya mabao 197 katika michezo 103 iliyochezwa, ukiwa ni wastani wa bao 1.0097 linafungwa kwa mchezo na vinara wa Ligi klabu ya Yanga ndio timu iliyofunga mabao mengi mabao 23 na Mtibwa Sugar ndio timu iliyofunga mabao machache zaidi mabao 7.

Kwenye vita ya ufungaji mshambuliaji wa Namungo FC Reliant Lusajo ndio kinara amefunga jumla ya mabao 7 akifuatiwa na Fiston Mayele wa Yanga mwenye mabao 6, George Mpole wa Geita Gold, Jeremia Juma wa Tanzania Prisons na Vitalis Mayanga wa Polisi Tanzania wote wamefunga mabao 5.

Huku Feisal Salum, Saido Ntibanzokiza waote wa Yanga wamefunga mabao 4, wachezaji wengine waliofunga mabao 4 ni Meddie Kagere wa Simba, Juma Luzio na Richardson Ng'odya wote wa Mbeya City. Mpaka sasa wachezaji wazawa (watanzania) wametawala kwenye orodha ya wachezaji 10 waliofunga mabao mengi wapo 7 wachezaji wa kigeni ni 3 tu.

Msimu uliopita mfungaji bora wa Ligi alikuwa John Bocco wa Simba SC ambaye alimaliza msimu akiwa na bao 16, Lakini mpaka sasa msimu huu bado hajafunga bao hata 1. Na imesalia michezo 17 kabla ya kuumaliza msimu huu wa 2021-22.

 

 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA