
Askari Polisi akiwadhibiti watuhumiwa na kuwaingiza kwenye gari la Polisi
Kwa mujibu wa Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam Jumanne Muliro amefafanua kuwa watuhumiwa hao wamekamatwa wakijaribu kufungua baadhi ya vyuma vilivyotumika kama ngazi kwenye utengenezaji wa daraja hilo.
Tazama Video hapo chini