Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Van de Beek kukosa Euro 2020

Jumanne , 8th Jun , 2021

Kiungo wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Uholanzi Donny Van de Beek ameondolewa kwenye kikosi cha Uholanzi kitakachoshiriki michuano ya Euro 2020 kutokana na majeruhi.

Donny Van de Beek

Taarifa za majeruhi ya kiungo huyo zimetolewa leo asubuhi kupitia mtandao wa kijamii wa Tweeter, lakini pia taarifa hiyo iliweka wazi kuwa kocha Frank de Boer hatajaza nafasi inayoachwa na kiungo huyo kwenye kikosi hicha cha the Oranje.

Van de Beek alijiunga na Manchester United kwenye dirisha la usajili la majira ya joto lilopita akitokea Ajax ya nyumbani kwao Uholanzi, kwa ada ya uhamisho ya pauni million 35 ambayo ni zaidi ya bilioni 114 kwa pesa za kitanzania. Lakini hajawa na mwanzo mzuri katika viunga vya Old Traford kutokana na kutopewa nafasi ya kucheza mara kwa mara na kocha Ole Gunnar Solskjaer.

Uholanza imepangwa kundi C kwenye michuano hii pamoja na timu za Austria, Ukraine na Mecedonia ya Kaskazini na itacheza mchezo wake wa kwanza Juni 13, 2021 dhidi ya Ukraine.

Na ni kwa mara ya kwanza Oranje watakuwa wakishiriki mashindano makubwa tangu mwaka 2014, kwani walishindwa kufuzu kwenye mashindano makubwa yaliyopita, fainali za michuano ya Euro mwaka 2016 na Kombe la Dunia mwaka 2018.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali