Thomas Ulimwengu
Ulimwengu amemaliza mkataba wake wa miaka mitano wiki iliyopita, na tayari yupo Dar es Salaam kwa mipango ya kuhamia klabu mpya, ambayo bila shaka itakuwa katika bara la Ulaya, kama mwenyewe anavyopenda
Ulimwengu, amesema anashukuru sana Mazembe, kwa miaka mitano iliyomkuza kisoka na kumfanya kwa ujumla afurahie maisha ya soka na kuwa na ndoto na tamaa zaidi.
