Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tyson Fury amtaja mpinzani anayemtaka

Jumatano , 24th Nov , 2021

Bondia anayeshikilia mkanda wa Ubingwa wa uzito wa juu ‘WBC’, Tyson Futy amefunguka kuwa, yupo tayari kurejea ulingoni mwezi Februari au Machi 2022 kutetea ubingwa huo na bondia yeyote atakayepangwa naye.

(Tyson Fury akiwa na mkanda wa ubingwa wa uzito wa juu WBC)

Fury ameibuka kuwa nambari 1 wa uzito wa juu duniani baada ya kumbonda mara mbili Deontay Wilder, lakini WBC bado haijamtangaza Dillian Whyte kama mpinzani wake wa lazima, na hivyo kumuacha bila mpinzani aliyethibitishwa.

Bondia huyo ameweka wazi kuwa yupo tayari kupambana na Whyte au mtu yoyote ambaye atakuwa na vigezo vya kupigana nae huku ndoto za kuzichapa na Joshua zikiyayuka.

Pambano ambalo limekuwa likisubiriwa kwa hamu na wapenzi wengi wa Masumbwi kati ya Fury na Anthony Joshua, kwa sasa haliwezi kuchezwa kwasababu Joshua anatazamiwa kurudiana na Oleksander Usyk.

Joshua amekiweka hai kipengele cha mchezo wa marudiano kujaribu kurudisha mataji ya IBF, WBA na WBO ambayo alishindwa kutetea alipopiga na Oleksandr Usyk baada ya kupoteza mwezi Septemba 2021.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali