Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Timu 3 za EPL zimefuzu 16 bora, Ligi ya mabingwa

Jumatano , 24th Nov , 2021

Manchester United na Chelsea zimefuzu hatua ya 16 bora, Ligi ya mabingwa barani ulaya baada ya kushinda michezo ya raundi ya tano ya hatua ya makundi jana usiku. Chelsea imeifunga Juventus mabao 4-0 na Manchester United imeinyuka Villarreal mabao 2-0.

Wachezaji wa Chelsea wakishangilia moja ya goli kwenye ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Liverpool

Chelsea walikuwa katika uwanja wao wa nyumbani Stanford Bridge na mabao ya ushindi katika mchezo huo wa kundi H yamefungwa na Trevoh Chalobah, Callum Hudson-Odoi, Reece James na Timo Werner. Kwa matokeo hayo The blues inafikisha alama 12 sawa na Juventus tofauti ikiwa ni magoli ya kufunga na kufungwa na timu zote zimefuzu hatua ya 16, mchezo mwingine wa kundi hilo Malmo dhidi ya Zenit ST. petrsburg ulimalizika kwa sare ya bao 1-1.

The Red Devils Manchester United wamekata tiketi ya kufuzu hatua ya 16 bora baada ya kufikisha alama 10 katika msimamo wa kundi F. Katika ushindi huo wa mabao 2-0 mabo ya Manchester united yamefungwa na Cristiano Ronaldo aliyefunga bao lake la 6 kwenye michuano hii msimu huu na akifunga katika mchezo wa 5 mfululizo lakini pia amefikisha mabao 800 kwenye maisha yake ya soka, Jadon Sancho alifunga bao la pili na ni goli lake la kwanza tangu ajiunge na klabu hiyo. 

Mchezo mwingine wa Kundi F Atalanta walitoka sare ya mabao 3-3 dhidi ya Young Boys, katika msimamo wa kundi hilo Manchester United wana alama 10 wameshafuzu, Villarreal nafasi ya pili alama 7, Atalanta nafasi ya 3 alama 6 na Yanga Boys wana alama 4.

Mpaka sasa ni timu sita (6) zilizofuzu hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa barani ulaya baada ya michezo ya raundi ya 5 ya hatua ya makundi Chelsea na Manchester United wanaungana na Liverpool, Ajax, Juventus na Bayern Munich.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali