Jumanne , 5th Mei , 2020

Shirikisho la soka nchini (TFF), limeweka wazi kuwa linashirikiana na Bodi ya Ligi (TPLB), kuhakikisha ligi kuu inarejea, lakini bado mchakato huo ni wa ndani kwani unategemea tamko la serikali juu ya mwenendo wa janga la Corona.

Makao Makuu ya TFF Krume Ilala Dar es salaam

Taarifa ya TFF leo Mei 5, 2020 imeeleza kuwa mchakato wa ndani kati ya shirikisho na Bodi pamoja na wadau ikiwemo vilabu unaendelea.

Soma taarifa kamili hapo chini.