Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TFF yafunguka kuhusu deni wanalodaiwa na TRA

Jumatatu , 20th Mar , 2017

Shirikisho la Soka nchini TFF limesema, wadau husika wa deni wanaodaiwa na Mamlaka ya Mapato nchini TRA ambao ni pamoja na serikali pamoja na klabu yaYanga, wanaendelea na mazungumzo ili kuweza kuafikiana juu ya deni hilo.

Ofisi za TFF bado zimeendelea kushikiliwa na TRA

Afisa habari wa TFF Alfred Lucas amesema deni hilo linawahusu pia wadau hao (Yanga na serikali) na kwamba TRA haikuweza kuwadai Yanga moja kwa moja kutokana na mdau mkubwa ambaye ni TFF kuwa ndiye mwenye mamlaka ya kusimamia suala hilo.

"Deni hili linatokana na Yanga katika mchezo wa msimu uliopita wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya TP Mazembe ambapo mashabiki waliingia bure na serikali iliangalia watu sasa katika kupiga hesabu ya watu walioingia Uwanjani Serikali haikuweza kuwasiliana na Yanga moja kwa moja kwa ajili ya fedha zinazotakiwa, hivyo ikaangalia chombo chenye muunganiko na Yanga ambao ni sisi TFF" Amesema.

Alfred Lucas

Kuhusu serikali, Lucas amesema "Suala lingine ni la Timu ya Taifa ya Brazili mbayo ilikuja nchini mwaka 2010 na kabla ya hapo kuna suala pia la aliyekuwa kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania Marcio Maximo,"

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali