Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tarehe yatajwa, sherehe za ubingwa wa Simba SC

Jumanne , 13th Jul , 2021

Bodi ya Ligi Tanzania bara (TPLB) imetangaza kuwa klabu ya Simba ambao ndio mabingwa wa Ligi Kuu bara rasmi watakabidhiwa kombe la ubingwa msimu wa 2020-21, Julai 18 kwenye mchezo wa mwisho wa Ligi, jijini Dar es salaam.

Simba wameshinda ubingwa wa VPL kwa misimu minne mfululizo

Simba walitangazwa rasmi kuwa mabingwa wa VPL msimu wa 2020-21 na ubingwa wa nne mfululizo Jumamosi iliyopita Julai 11 baada ya kuifunga Coastal Unioni ya Tanga kwa mabao 2-0 na kufikisha alama 79 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote. Mabingwa hao wa Tanznaia wamebakiza michezo miwili ya Ligi dhidi ya Azam FC ndio mchezo unaofata utachezwa Julai 15 na watakabidhiwa kombe  kwenye mchezo wa Mwisho dhidi ya Namungo FC mchezo utakao chezwa uwanja wa Benjamini Mkapa.

Hii hapa taarifa rasmi iliyotolewa na bodi ya Ligi Tanzania bara kuhusu sherehe za kukabidhiwa ubingwa kwa klabu ya Simba SC.

 

 Taarifa ya TPLB

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali