Ijumaa , 27th Jan , 2017

Ligi kuu ya soka Tanzania bara inaendelea tena Jumamosi kwa michezo miwili kupigwa ambapo jijini Mbeya kutakuwa na ‘derby’ ya Tanzania Prisons na Mbeya City utakaochezwa katika dimba la Sokoine, Mbeya.

Wachezaji wa Simba na Azam wakichuana.

Jijini Dar es Salaam wenyeji wekundu wa Msimbazi Simba watawaalika Azam FC katika mchezo ambao utapigwa katika dimba la taifa ambao umefunguliwa rasmi hii leo.

Kuelekea mchezo huo maafisa habari wa timu hizo kila mmoja ametamba kuibuka na ushindi

Wakwanza ni Haji Manara yeye akianza na suala la kuruhusiwa kuutumia uwanja wa Taifa.

Sikiliza

Sauti ya Haji Manara
Sauti Msemaji wa Azam FC Jaffar Idd Maganga
Mashabiki wa Simba na Azam