
Mbwana Samatta
Akiongea na Kipenga ya East Africa Radio, Mbwana Samatta amesema ni kweli inawapa shida lakini ni lazima kama mchezaji aendelea kujiweka sawa.
''Benchi la ufundi linatutumia program mara kwa mara ambazo inabidi tuzifanyie kazi ili kuwa tayari muda wote ligi ikirejea tuweze kucheza'' - Amesema Samatta.
Zaidi Msikilize hapo chini