Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

RC Mbeya aomba wagawane takwimu VVU

Jumatatu , 8th Mar , 2021

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, amesema anaandaa kikao na Mkuu wa Mkoa wa Songwe ili kugawana takwimu za maambukizi ya Virusi vya Ukimwi VVU kama walivyogawana mali na vitu vingine wakati wanaugawa Mkoa wa Mbeya.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila akiongea

Takwimu za mambukizi ya VVU Mbeya kwa sasa ni asilimia 9.

Chalamila ameyasema hayo leo Machi 8, 2021 wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliyofanyika katika ukumbi wa Mkapa jijini Mbeya.

Ameeleza kuwa wakati wanaugawa Mkoa wa Mbeya waligawana mali na vitu vingine lakini takwimu za Ukimwi hawakugawana hivyo kuufanya Mkoa wa Mbeya kuwa na takwimu za juu kuliko zingegawiwa.

"Tutafanya kikao na Mkuu wa Mkoa wa Songwe ili kuwagawana hizi takwimu za maambukizi ya Virusi vya Ukimwi maana wakati Mkoa wa Mbeya ukigawanywa takwimu zilibaki kwetu, hivyo lazima tugawane kama vitu vingine tulivyovigawa na utasaidia Mbeya kuwa na idadi ndogo ya maambukizi kuliko ilivyo sasa'', amesema Chalamila.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali