Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pogba agoma kufanyiwa upasuaji

Jumatano , 3rd Aug , 2022

Taarifa kutoka Turin nchini Italia zinasema kiungo wa Juventus raia wa Ufaransa Paul Labile Pogba amekataa kufanyiwa upasuaji kwenye goti lake lililojeruhiwa, na badala yake amechagua kufanyiwa matibabu ya kawaida bila kupasuliwa.

Paul Pogba

Pogba amefanya uamuzi huo ili apate nafasi ya kushiiriki michuano ya kombe la Dunia inayotarajiwa kuanza mwezi Novemba mwaka huu nchini Qatar, kwani endapo atakubali kufanyiwa upasuaji basi atalazimika kukaa nje kwa zaidi ya miezi minne kitendo ambacho kitamfanya ashindwe kushirikishi michuano hiyo mikubwa ya soka Duniani.

Nyota huyo wa kimataifa wa Ufaransa mwenye umri wa miaka 29 anatarajiwa kukaa nje ya uwanja kwa kipindi kisichopungua wiki tano kama matibabu yataenda vizuri vile inavyotarajiwa, lakini endapo hali ikiwa tofauti basi huenda akakosekana kwa kipindi kirefu zaidi ya hapo.

Pogba alipata jeraha hilo la goti ikiwa ni wiki tatu tu tangu ajiunge tena kwa mara ya pili na Kibibi kizee hicho cha Turin (Juventus) kwa mkataba wa maika minne akitokea Manchester united alipodumu kwa kipindi cha miaka 6 akiwa amejiunga kwa mara ya pili na mashetani hao wekundu akitokea Juventus aliporejea hivi sasa.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali