Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pochettino bora aende United - Carragher

Alhamisi , 25th Nov , 2021

Mlinzi wa zamani wa Liverpool Jamie Carragher amemshauri kocha wa PSG Mauricio Pochettino kujiunga na Manchester United kuchukua nafasi ya Ole Gunnar Solskjaer aliyetimuliwa kazi baada ya kuwa na matokeo mabaya ndani ya kikosi hicho.

Kocha wa PSG Mauricio Pochettino

Ushauri wa Carragher ameutoa baada ya PSG kukubali kichapo cha magoli 2-1 kutoka kwa Manchester City kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa barani ulaya huku akisemaPochettino anapaswa kutoka na kwenda klabu nyingine,kama akipata hiyo nafasi ni bora aende tu maana ningekuwa mimi ningekwenda hata kesho”.

Carragher anaamini kitendo cha Pochettino kama atakubali kujiunga na United kutamsaidia kukua kwenye nyanja yake ya ukufunzi wa soka huku gwiji wa zamani wa Arsenal Thierry Henry akimuunga mkono Jamie Carragher kuhusu kuondoka kwa kocha huyo na kwenda kutafuta changamoto mpya nje ya PSG.

Kwa mfumo uliopo Pochettino hawezi kuwa Pochettino kwenye timu hii,Unawezaje kuwaweka benchi wachezaji (Messi, Mbappe au Neymar)? Analazimika kumtumia Angel Di Maria katika sehemu ya kiungo jambo ambalo halimsaidii na kuifanya timu kuwa wazi zaidi”.amesema Henry

Kwenye mkutano na waandishi wa habari siku ya Jumanne,Pochettino alisema ana furaha ndani ya PSG kwani ni fahari kwake kuwa kocha na pia aliitumikia kama mchezaji na bado ana furaha kuwa sehemu ya familia ya PSG

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali