Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pochetino ashinda taji la kwanza, amshukuru Tuchel

Alhamisi , 14th Jan , 2021

Kocha wa PSG Mouricio Pochetino amaeshinda taji lake la kwanza katika maisha yake ya ukocha, baada ya kikosi cha chake kuifunga Olympique Marseille mabao 2-1 kwenye mchezo wa fainali wa French Super CUP, lakini pia amemshukuru kocha wa zamani wa kikosi hicho Thomas Tuchel.

Pochetino ameshinda taji lake la kwanza kwenye maisha yake ya ukocha

Maboa ya PSG kwenye mchezo huo yalifungwa na Moura Icardi dakika 39 na Neymar Jr alifunga kwa mkwaju wa penati dakika ya 85 yalitosha kumpa Pochetino taji lake la kwanza katika maisha yake ya ukocha na bao la kufutia machozi la Marseille lilifungwa na Dimitri Payet dakika ya 89.

 

Baada ya mchezo huo kkumalizika pochetino alisema

"Nataka kuwashukuru wachezaji, mkurugenzi wa michezo Leonardo na Nasser Al-Khelaifi Rais, Pia natambua mchango wa Thomas Tuchel na wafanyikazi wake, ambao wametuwezesha kucheza mechi hii."

 

Pochetino amejiunga na mabingwa hao wa Ufaransa mwezi huu ikiwa ni kibarua chake cha kwanza tangu alipofutwa kazi na Tottenham ya England mwezi Novemba 2019, akichukua mikoba ya kocha mjerumani Thomas Tuchel na mchezo huo wa fainali ulikuwa ni mchezo wake wa 3 tangu aanze kukionoa kikosi hicho cha matajiri wa jiji la Paris.

 

Raia huyo wa Argentina mwenye umri wa miaka 48 amewahi kuvifundisha vilabu vya Espanyol ya Hispania Southampton na Tottenham zote za England, mafanikio yake makubwa ilikuwa ni kuifikisha Tottenham kwenye fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya msimu wa 2018-19 ambapo walifungwa na Liverpool kwenye mchezo wa fainali.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu