Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pep Guardiola naye akumbwa na 4G EPL

Jumapili , 15th Jan , 2017

Everton imepeleka msiba mzito kwa kocha Pep Guardiola baada ya kuifunga Manchester City mabao 4-0 kwenye mchezo wa ligi kuu ya soka nchini Uingereza.

Kocha wa Man City Pep Guardiola, alikuw akiona kama ndoto hivi

Romelu Lukak, Kevin Mirallas walifunga mabao kipindi cha kwanza na kuipeleka Everton, kuongoza, mbele ya City, iliyokuwa imetawala mchezo kwa 71 asilimia.

Tom Davies aliwainua tena wapenzi wa uwanja wa Goodison Park kwa kumtungua kipa wa City, Claudio Bravo na Ademola Lookman alifunga bao la 4, kwenye dakika za majeruhi, na kuwaacha matajiri wa Manchester, wakitoka patupu.

Machester City, sasa inakaa nafasi ya tano ikiwa na pointi 40 baada ya michezo 22.

Hiki ni kipigo cha kwanza kikubwa cha aina hiyo kwa kocha wa Man City Pep Guardiola tangu aanze kufundisha soka la ushindani

Ademola Lookman, akipongezwa na kocha wake Ronald Koeman baada ya kufunga bao kwenye mechi yake ya kwanza dhidi ya Man City

Katika mchezo mwingine uliowakutanisha watani wa jadi Manchester United na Liverpool, matokeo yameuwa ni sare ya bao 1-1 ambapo wageni Liverpool ndiyo waliokuwa wa kwanza kupata bao dakika ya 27 kupitia kwa James Milner kwa mkwaju wa penati, kabla ya Zlatan Ibrahimovic kusawazisha kwa kichwa dakika ya 83.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu