Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pamoja na kukaza Stars yatolewa

Jumapili , 23rd Jul , 2017

Taifa Stars imetolewa katika mashindano ya kusaka tiketi ya kucheza fainali zijazo za Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) baada ya kutoka suluhu na Rwanda (Amavubi) katika mchezo uliopigwa jana kwenye Uwanja wa Nyamirambo jijini Kigali.

Amavubi imefanikiwa kusonga mbele kwa faida ya bao la ugenini walilopata katika mechi ya kwanza iliyopigwa Jumamosi iliyopita kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza ambayo timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1, wageni Amavubi wakitangulia kufunga huku nahodha wa Stars Himid Mao akisawazisha kwa njia ya penalti.

Katika mchezo huo Taifa Stars wanatakiwa kujilaumu zaidi kutokana na kushindwa kutumia vema nafasi mbalimbali za kufunga walizotengeneza baada ya mabeki wa Amavubi kushindwa kwenda na kasi yao.

Baadhi ya nafasi hizo ni ile ya dakika ya tisa kupitia kwa mshambuliaji John Bocco kupiga shuti lililoishia kupanguliwa na kipa wa Amavubi Eric Ndayishimiye.

Dakika ya 41 pia Stars ilipoteza nafasi ya kufunga kupitia kwa Simon Msuva ambaye shuti lake lilidakwa.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali