Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Onana na Mkhitaryan watua Milan

Ijumaa , 1st Jul , 2022

Baada kufanikiwa kuwanasa Romelu Lukaku na Kristjan Asllani kwa mkopo kutoka Chelsea na Empoli, klabu ya Inter Milan leo imekamilisha usajili wa mlinda mlango wa Cameroon Andre Onana toka klabu ya Ajax ya nchini Uholanzi pamoja na kiungo Henrikh Mkhitaryan toka klabu ya AS Roma.

Andre Onana

Onana mwenye umri wa miaka26 amesaini mkataba wa miaka mitano na sasa anakua mrithi wa Samir Handanovic mwenye umri wa miaka 37, ambaye amedumu Inter Milan kwa muongo mmoja. Huku mchezaji wa kimataifa wa Armenia Mkhitaryan amesaini mkatawa miaka miwili kuitumikia miamba hiyo ya soka ya Italia.

Wachezaji hao wamewasili jijini Milan wakiwa wachezaji huru baada ya kandarasi zao na timu zao za awali kumalizika.

(Henrikh Mkhitaryan)

Wawili hao wameorodheshwa katika wachezaji waliuokamilisha uhamisho wao kwenye tovuti ya ligi kuu ya Italia ‘Serie A’  na kufanya mikataba hiyo kuwa rasmi hata kama Inter haijatangaza rasmi kuwasili kwao.

Pia Milan wameripotiwa kuwepo kwenye mazungumzo ya kumleta Paulo Dybala ambaye naye ni mchezaji huru akitokea Juventus baada ya kukataa kuongeza mkataba na klabu hiyo.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali