Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nyoni, Bocco nje, taifa stars ikiivaa Namibia leo

Jumamosi , 23rd Jan , 2021

Timu ya taifa ya Tanzania ‘taifa stars’ itaendelea kuwakosa nyota wake John Bocco,Ibrahim Amen na Erasto nyoni walioripotiwa kuwa majeruhi, wakati ikitarajiwa kutupa karata yake ya pili kwenye michuano ya CHAN mchezo wa kundi D leo usiku dhidi ya timu ya taifa ya Namibia, utakaochezwa Saa

Taifa stars itaendelea kuikosa huduma ya wachezaji wake wakongwe na wazoefu John Bocco na Erasto Nyoni kwenye mchezo dhidi ya Namibia kutokana na majeruhi

Taifa stars ilipoteza mchezo wa kwanza kwa kufungwa mabao 2-0 na timu ya taifa ya Zambia, na sasa kikosi hicho kinachonolewa na kocha Mrundi Etienne Ndayiragije kinahitaji matokeo ya ushindli kwenye mchezo wa usiku wa leo ili kufufua matumaini ya kusonga mbele kwenye fainali hizo za CHAN.

Namibia wao ndio wanaburuza mkia kwenye kundi hilo baada ya kufungwa mabao 3-0 na timu ya taifa ya Guinea kwenye mchezo wa kwanza, hivyo Taifa stars wapo juu ya Namibia kwenye msimao wa kundi wakiwa nafasi ya 3 kutokana na tofauti ya mabao ya kufungwa, Guinea ndio vinara wa Kundi D wakiwa na alama 3 sawa na Zambia, Guinea wakikaa kileleni kwa faida ya mabao ya kufunga.

Mara ya mwisho Timu hizi kukutana ilikuwa Machi 5, 2014. mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya bao 1-1.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi