Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ninja afanya kama Yanga huko LA Galaxy

Jumatatu , 19th Aug , 2019

Beki mpya wa klabu ya LA Galaxy inayoshiriki Ligi Kuu ya nchini Marekani MLS, Abdallah Shaibu 'Ninja' amecheza mchezo wake wa kwanza akiwa na timu hiyo hapo jana na kufanya makosa kama alivyofanya katika mchezo wa kwanza akiwa na Yanga.

Abdallah Shaibu Ninja

Awali, Ninja alisaini miaka minne na klabu ya Ligi Daraja la Tatu ya Jamhuri ya Czech na kisha kupelekwa kwa mkopo katika klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani ambako atacheza kwa msimu mzima.

Katika mchezo wake wa kwanza kati ya LA Galaxy na New Mexico, ambao umemalizika kwa sare ya 2-2, Abdallah Shaibu 'Ninja' alisababisha penalti katika dakika ya 76 ya mchezo baada ya kumchezea rafu mchezaji wa New Mexico.

Kwenye mchezo wake wa kwanza na klabu yake ya zamani ya Yanga, pia Ninja alisababisha bao kwa wapinzani wao Ruvu Shooting baada ya kujifunga kwenye mchezo wa kirafiki ulipigwa Agosti 12, 2017.

Lakini mchezaji huyo ameonekana kuaminiwa mapema na klabu yake mpya ya LA Galaxy kiasi cha kuchezeshwa katika kikosi cha timu ya pili ya klabu hiyo (LA Galaxy II), jambo linaloweza kumpa mwanga zaidi wa kujifunza na kurekebisha makosa madogo madogo ili kufanya vizuri na hata kucheza kikosi cha kwanza.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali