Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtibwa Sugar yamnasa Dilunga

Jumatatu , 24th Jul , 2017

Klabu ya Mtibwa Sugar yenye makao makuu yake Turiani mkoani Morogoro imefanikiwa kunasa saini ya kiungo mkongwe wa kutokea JKT Ruvu, Hassan Dilunga kuitumikia timu hiyo kwa kandarasi ya miaka miwili katika msimu mpya wa ligi kuu 2017/2018

Mchezaji mpya wa Mtibwa Sugar Hassan Dilunga.

unaotarajiwa kuanza muda si mwingi.

Kusajiliwa kwa Dilunga kunafanya idadi ya nyota wapya katika kikosi hicho kufikia sita (6) mpaka sasa baada ya usajili wa awali wa Hussein Idd kutoka Oljoro JKT anayemudu kucheza beki ya kati, Seleman Kihimbi “Chuji”  kutoka Polisi Moro, Salum Kupela Kanoni kutoka Mwadui, Shaban Kado kutoka Mwadui na Rifat Khamis kutoka Ndanda FC.

Mara baada ya usajili huo, Dilunga amesema Mtibwa ndiyo mahala sahihi kwake na ndiyo sababu ya yeye kukataa ofa nyingi alizopata kutoka katika vilabu vingine.

“Nafikiri nimekuja mahala sahihi, nimepata ofa nyingi sana lakini nilipoona Mtibwa Sugar wananihitaji sikutaka kufikiria mara mbili maana nilikuwa natamani kuichezea klabu hii, namshukuru Allah kwa kunifikisha mahala hapa nadhani patakuwa sahihi sana kwangu", amesema Dilunga.

Kwa upande mwingine, Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF), limesema mpaka sasa ni timu mbili, kati ya 62 ndizo zimefanya usajili hivyo imetoa tahadhari kwa klabu zote zilizopo nchini kuendelea kufanya usajili katika siku 12 zilizobakia kabla ya kufungwa dirisha la usajili kwa kuwa mwaka huu hawataweza kuongeza siku kama walivyofanya mwaka uliyopita katika usajili.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi