Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtibwa kufuta undugu na Mexime

Jumapili , 19th Nov , 2017

Mtibwa Sugar imejinasibu kuwa itamfunga kocha wake wa zamani Mecky Mexime ambaye anaifundisha klabu ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa ligi kuu leo jioni.

Msemaji wa klabu hiyo Thobias Kifaru amesema kuwa undugu watauweka kando na kucheza soka ambalo litawapa matokeo mbele ya Kagera Sugar ambayo inafundishwa na mchezaji wa zamani wa Mtibwa Sugar.

“Ni kweli Mexime amecheza kwenye klabu yetu kwa miaka 12 na baadae akawa kocha mkuu wa kikosi chetu lakini leo tutweka pembeni undugu kwasababu tunataka pointi tatu ili tuendeleze rekodi yetu ya kutofungwa msimu huu”, amesema Kifaru.

Mtibwa na Kagera zinakutana katika mchezo wa raundi ya 10 kwenye uwanja wa Manungu huku historia ikiandikwa ambapo wachezaji wa zamani wa Mtibwa Sugar Mecky Mexime na Shabaan Katwila wakiziongoza timu hizo.

Mtibwa Sugar ipo nafasi ya 4 ikiwa na alama 17, wakati Kagera Sugar ipo katika nafasi ya 14 ikiwa na alama 7. Mtibwa haijapoteza mechi hadi sasa na imetoka sare moja tu kwenye uwanja wake wa nyumbani dhidi ya Singida United.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali