Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mourinho aiachia Chelsea ubingwa Kombe la FA

Jumatatu , 20th Feb , 2017

Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho amesema kuwa Chelsea tayari ni mabingwa wa kombe la FA, kabla hata ya mchezo wa robo fainali atakaokutana na vinara hao, wa ligi kuu ya soka nchini Uingereza.

Moja kati ya mechi zilizowakutanisha Chelsea na Man United

Manchester United itakutana na Chelsea kwenye robo fainali ya kombe la FA, mwezi Machi mwaka huu, baada ya kushinda 2-1 dhidi ya Blackburn Rovers, kwenye raundi ya tano ya FA hapo jana, mabao yaliyofungwa na Zlatan Ibrahimovic na Marcus Rashford.

Lakini Mourinho, anaamini mchezo huo, utafikiriwa zaidi na Chelsea, kwa kuwa hawana mashindano mengi, kama United, inayojiandaa na mchezo wa marudiano ya Europa League, dhidi ya Saint-Etienne, wiki hii, pia ikiwa na mchezo wa fainali aya kombe la ligi dhidi ya Southampton Jumapili ijayo, na michezo ya ligi kugombea nafasi nne bora.

"Kombe la FA ni kitu ninachoamini kuwa ni muhimu kwao. Inabidi kucheza na St-Etienne (Jumatano), inanibidi kucheza fainali ya kombe la ligi, inanipasa pia bila shaka kucheza na mpinzani mwingine kwenye Europa. Inanipasa kupigania nafasi ya nne bora kwenye ligi kuu. Nina vitu vingi sana vya kufikiria." Alisema Mourinho.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi