Mfanyabishara na Muwekezaji wa Klabu ya Simba Mohamed Dewji "Mo"
Akitangaza hilo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Twitter muda mfupi uliopita Mo Dewji ameeleza kuwa
"Wanasimba wenzangu nataka niwahakikishie, hakuna mchezaji wetu yeyote atakayeondoka Simba lakini pia tutasajili mchezaji yeyote kutoka popote, kama Mwl wetu atamuhitaji kwenye kikosi chake, Tutashuka kwa kishindo hatuna maneno mengi lakini tupo" amendika Mo Dewji.

