Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Messi atamalizia kiporo chake ?

Jumatatu , 11th Dec , 2017

Shirikisho la soka barani Ulaya leo limefanya droo ya kupanga mechi za hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA ambapo Mabingwa watetezi Real Madrid wataanzia Bernabeu kuikaribisha Paris Saint-Germain PSG.

Katika droo hiyo pia mabingwa wa England Chelsea, wataanzia nyumbani kuwakaribisha vinara wa La Liga FC Barcelona. Kikubwa katika mchezo huu ni mshambuliaji wa Barcelona Lionel Messi akiwa hajawahi kuifunga Chelsea katika mechi nane alizokutana na timu hiyo na kufanya Chelsea iwe ndio timu ambayo amecheza nayo mara nyingi zaidi bila kuifunga.

Vinara wa EPL Mamchester City itaanzia ugenini dhidi ya FC Basel. Manchester United itakuwa ugenini kucheza na Sevilla ya Hispania. Mchezo mwingine utawahusisha wanafainali wa msimu uliopita Juventus ya Italia ambayo itaanzia nyumbani dhidi ya Tottenham.

Mabingwa mara tano wa UEFA Liverpool itasafiri hadi Ureno kucheza na FC Porto. Bayern Munich itaanzia nyumbani kwenye dimba la Allienz Arena kucheza na Besiktas ya Uturuki. Shaktar Donetsk ya Uturuki itakuwa nyumbani kuanza na AS Roma.

Neymar Jr anarejea kwa mara ya kwanza kwenye ardhi ya Hispania kikazi akiwa na PSG kuikabili Real Madrid. Msimu uliopita PSG iliondolewa na Barcelona kwa kufungwa jumla ya mabao 6-5 wakati huo Neymar akiwa na Barcelona.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi