Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbadala wa Clatous Chama apatikana Simba SC

Alhamisi , 14th Oct , 2021

Kocha Msaidizi wa kikosi cha Simba, Mrwanda Hitimana Thierry amesema mchezaji mbadala wa kutengeneza nafasi za mabao klabuni hapo tayari ameshapatikana baada ya Chama kuondoka na wana matarajio makubwa kuwa atafanya vizuri.

Kocha Msaidizi wa Simba, Hitimana Thierry akiwa anasimami mazoezi.

Hitimana ameyasema hayo wakati akizungumzia maandalizi ya mchezo wa kuwania kufuzu hatua ya makundi michuano ya klabu bingwa Afrika ambapo Simba itacheza Jmapili 17, 2021 dhidi ya Jwaneng Galaxy nchini Botswana.

Hitimana amesema, “Katika hizi mechi ambazo tumecheza tumeona jinsi gani tulikuwa tukitengeneza nafasi na kushindwa kuzitumia, lakini mtu wa kutengeneza nafasi ya mwisho, tayari yupo mtu ambaye amepewa jukumu hilo na kuna matarajio makubwa ya kufanya vizuri kwenye mchezo wetu huu"

Maelezo ya Hitimana hayakutaja kwa jina mchezaji huyo mwenye majukumu hayo mapya lakini ripoti za kikachero zinaripoti kuwa ni miongoni mwa kiungo fundi, Larry Bwalya, winga Bernanrd Morrison na Pape Ousmane Sakho. Ikumbukwe kuwa Chama alikuwa kinara wa kutengeneza nafasi za mabao 'Assits' wa Ligi kuu msimu ulioisha 2020-21 kwa kutengeneza nafasi 15 na hata msimu juzi 2019-20 alitoa assist 8 na kuwa kinara katika VPL.

Msimu uliopita Bwalya alikuwa na assist 5 na Bernard Morrison alikuwa na assist 4 licha ya kukosa utulivu na kuwa na ingia toka kwenye kikosi cha kwanza ilhali Sakho alikuwa mchezaji bora wa Lgi kuu ya Senegel.

Kwa upande mwingine amegusia mazingira ya nchini Botswana ambayo wanajiandaa kukabiliana nayo.

“Tumejiandaa vizuri kimbinu na kiufundi, pia tumeshajua tutaenda kucheza kwenye joto kali, tumeanza kulifanyia kazi hilo na kuzoea hali hiyo kabla ya kuondoka kuelekea Botswana". Amesema Hitimana.

Simba inataraji kuondoka nchini Tanzania Ijumaa ya 18, 2021 kuelekea nchini Botswana kwa ajili ya mchezo huo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali