Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mashabiki wa Liverpool washambuliwa Ukraine

Ijumaa , 25th Mei , 2018

Hofu ya usalama katika mji wa Kiev nchini Ukraine, imeongezeka baada ya mashabiki wawili wa timu ya Liverpool kushambuliwa na genge la wahuni ikiwa imebaki siku moja kabla ya mchezo wa fainali wa mashindano ya klabu bingwa Ulaya.

Gazeti la Independent limeandika kuwa, Polisi nchini Ukraine, wamethibitisha tukio hilo na kudai kuwa wa mashabiki wawili wa Liverpool wamejuruhiwa katika ya mji wa Kiev mahali ambapo kundi la mashabiki hao walikuwa wamewasili katika mgahawa wa Rooster Grill.

Polisi wameongeza kuwa watu wawili wanashikiliwa kufuatia tukio hilo ingawa wengi wao walifanikiwa kukimbia katika eneo la tukio. Mmoja wa mshabiki Liverpool, Jason Frost amethibitisha kushambuliwa masaa mchache baada ya kuwasili katika mji huo 

“Tulikuwepo hapa kwa masaa manne  na kisha baadae tukaanza kushambuliwa, walikuja  kama kundi la mbwa, ilikuwa inaogopesha sana, tulikuwa tunapata chakula cha jioni, sikuja hapa kwa mambo haya, bali nilikuja kuangalia mpira” amesema Bwana Frost.

Kesho Mei 26, timu ya Liverpool kutoka England itakabiliana na Real Madrid ya Hispania katika mchezo wa mashindano ya klabu bingwa Ulaya utakaofanyika mjini Kiev katika nchi ya Ukraine.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali