Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Masau Bwire aja na 'slogan' mpya kwa wapinzani

Jumapili , 13th Sep , 2020

Msemaji wa wababe wa Mlandizi Pwani Ruvu Shooting Masau Bwire baada ya kutamba msimu uliopita na msemo wake maarufu 'mpapaso square' msimu huu Masau Bwire amekuja na msemo mpya.

Msemaji wa wababe wa Mlandizi Pwani Ruvu Shooting Masau Bwire

Masau Bwire ameweka wazi msemo huo utakaotumika msimu huu wa 2020-21 utakuwa ni 'kupapasa na kukung'uta'.

"Kama ambavyo watanzania wanavyotutambua kuwa sisi ni 'Barcelona ya bongo' hivyo wapinzani wetu wajiandae maana tutawapapasa na kuwakung'uka'', amesema Masau.

Aidha, kwa upande mwingine Masau Bwire amezungumzia usajili walioufanya na maandalizi yao katika mashindano yote msimu huu 2020-21 kuwa ni usajili wa kitaalamu zaidi uliozingatia thamani na vipaji walivyonavyo wachezaji wazawa

"Tofauti yetu na vilabu vingine vinavyosajili kwa mbwembwe sisi tunamini katika vipaji vya wazawa hata hivyo niwaase tu timu zinazosajili wachezaji wakigeni, nyumbani tunawachezaji bora zaidi. Laiti kama hizi fedha wanazopewa wachezaji wakigeni wangeboreshewa maisha wachezaji wazawa naaminin wachezaji wazawa ni bora zaidi na hii ndiyo Ruvu Shooting tunaenda kuwadhihirishia'', ameongeza.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA