Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Man City yahamishia nguvu kwa Lewandowski

Alhamisi , 15th Jul , 2021

Baada ya ofa ya Manchester City ya pauni million 100 ya kumsaji Harry Kane kukataliwa na Tottenham sasa klabu hiyo inajipanga kuhamishia nguvu kwa mshambuliaji wa Bayern Munich Roberto Lewandowski.

Roberto Lewandowski

Manchester City wapo sokoni kutafuta mshambuliaji wa daraja la juu ambaye atachukua nafasi iliyoachwa na Sergio Kun Aguero ambaye amejiunga na FC Barcelona baada ya kumaliza mkataba. Harry Kane wa Tottenham na Erling Haaland wa Dortmund ndio wachezaji wanaotajwa kuwa wanawaniwa kwa ukaribu na Man City.

Mabingwa hao watetetzi wa EPL inaripotiwa kuwa ofa yao ya ada ya uhamisho ya Pauni million 100 zaidi ya billion 321 kwa pesa za kitanznaia kwa ajili ya kumsajili Kane ilikataliwa na Tottenham ambao nao wameweka wazi kuwa bado wanahitaji huduma ya mshambuliaji huyo ambae kabakiza mkataba wa miaka miwili, wakati kwa Haaland dau la Pauni million 175 zaidi ya bilioni 562 linalotajwa kama ada ya uhamisho ya mshambuliaji huyo kinda, City hawapo tayari kulipa dau hilo.

Sasa baada ya kuonekana kuna ugumu kwenye kumpata mmoja kati ya washambuliaji hao, inatajwa Man City wameanza kufuatilia mkataba wa Roberto Lewandowski na kuona kama itawezekana kumsajili mshambuliaji huyo raia wa Poland mwenye umri wa miaka 32.

Lewandowski amebakiza mkataba wa miaka miwili na Bayern Munich, na aliwahi kufanya kazi na kocha wa Man City Pep Guardiolandani ya kikosi hicho cha The Bavarians kati ya mwaka 2014 hadi 2016 na hiyo inatajwa kuwa inaweza kuwa sababu ya kumshawishi mshambuliaji huyo.

Msimu uliopita alifungwa mabao 48 kwenye mashindano yote huku mabao 41 kati ya hayo yakiwa ni ya Ligi Kuu na ni rekodi kwenye ligi hiyo kwa mchezaji kufunga idadi hiyo ya mabao kwenye msimu mmoja.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu