
Wachezaji walipotua uwanja wa Ndege wa JK Nyerere
Tanzania U23 walishiriki michuano CECAFA Challenge 2021 ambayo ilifanyika huko na wakatwaa ubingwa kwa kuifunga Burundi penati 6-5 kwenye mchezo wa fainali Ijumaa Julai 30, 2021.
Katibu Mkuu wa TFF Wilfried Kidao akiwa ameshika kombe