Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Juma Luizio aukubali 'muziki' wa Yanga

Jumatatu , 9th Jan , 2017

Kuelekea mechi ya nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar kati ya Simba na Yanga, mshambuliaji wa Simba Juma Luizio, amekubali makali ya kikosi cha Yanga na kusema kuwa kinaundwa na wachezaji wazuri.

Kikosi cha Yanga

Luizio ambaye amesajili Msimbazi kwa mkopo akitokea Zesco ya Zambia licha ywa kukubali uwezo wa wachezaji wa Yanga, amesema kuwa hakuna anayemuogopa, na kwamba yuko tayari kwa pambano la kesho na atahakikisha anapambana kuipa Simba ushindi.

"Yanga ina wachezaji wazuri sana, wachezaji wote ni wazuri, lakini hakuna ninayemuhofia" Alisema LUizio mara baada ya kumalizika kwa mechi ya Simba na Jang'ombe Boys, ambapo Simba ilishinda 2-0.

Akiwa Zesco ya Zambia, Luizio alikuwa akinolewa na kocha wa Yanga kwa sasa, George Lwandamina.

Juma Luizio akiwa Zesco

Katika michuano hii Luizio amefungia Simba bao moja pekee, alilofunga katika mchezo dhidi ya Taifa Jang'ombe huku akijihakikishia nafasi ya kudumu katika kikosi cha kwanza. 

Mechi hiyo inapigwa kesho saa 2;15 usiku katika dimba la Amaan, visiwani Zanzibar

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi