Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jota ni mchezaji wa kiwango cha Dunia- Klopp

Ijumaa , 21st Jan , 2022

Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp amemsifu mshambuliaji wake Diogo Jota kwa kiwango bora baada ya kufunga mabao 2 kwenye ushindi wa 2-0 walioupata kwenye mchezo wa nusu fainali ya kombe la Ligi Carabao CUP dhidi ya Arsenal. Na sasa watacheza fainali dhidi ya Chelsea.

Diogo Jota kushoto akipongezwa na kocha Jurgen Kloop

Ushindi huo wa mabao 2-0 ulitosha kuifanya Liverpool kukata tiketi ya kucheza fainali ya Carabao Cup na ulikuwa ni mchezo wa mkondo wa pili wa nusu fainali ya michuano hiyo mabao yote mawili ya Liverpool yamefungwa na Diogo Jota dakika ya 19 na 77. Na sasa Liverpool wataminyana na Chelsea katika mchezo wa fainali Februari 27, 2022.

Mara baada ya mchezo huo kocha wa Liverpool Mjerumani Jurgen klopp akasifu kiwango bora cha Jota na umuhimu wa magoli aliyofunga jana hususani kipindi hiki ambacho Mo Salah na Sadio Mane hawapo kwenye kikosi.

"Wow, yupo kwenye kiwango bora,Tuliamini alipofika kwenye klabu atatusaidia kwa kiasi kikubwa. Mawazo yake na ubora wake ndivyo vilivyotufanya kumsajili.Tangu alivyojiunga nasi amepiga hatua, amekuwa mshambuliaji wa kiwango cha Dunia. Amesema Klopp.

Jota kafikisha mabao 14 kwenye michuano katika michezo 27 msimu huu, Lakini pia amefunga jumla ya mabao 27 katika michezo 57 tangu alipojiunga na klabu hiyo msimu uliopita wa 2020-21. Liverpool imekata tiketi ya kucheza fainali kwa ushindi wa jumla wa mabao 2-0 kwenye michezo ya mikondo miwili ya nusu fainali mchezo wa mkondo wa kwanza ulimalizika kwa suluhu 0-0 katika Dimba la Anfield.

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya