Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jadon Sancho awekwa sokoni

Jumatatu , 5th Apr , 2021

Mtendaji mkuu wa klabu ya Borussia Dortmund Hans-Joachim Watzke amesema watamuuza winga wao Jadon Sancho endapo kama kuna timu italeta ofa ya kutaka kumnunu mchezaji huyo, winga huyo raia wa Uingereza anatajwa kuwa na thamani ya pauni milioni 110.

Jadon Sancho

Msimu uliopita klabu ya Manchester United ilikaribia kumsajiri Jadon Sancho, na winga huyo amekuwa akihusishwa sana kuihama Dortmund. Kutokana na kuporomoka kwa uchumi wa klabu hiyo Hans-Joachim Watzke ameweka wazi kuwa wapo tayari kumuuza mchezaji huyo.

 

"Sijishughulishi na ubashiri, sio vizuri. Jadon Sancho amekuwa nasi muda mrefu sana kuliko Erling Haaland, itabidi tuzungumze na Jadon pia.''

''Ikiwa kuna ofa ya kipekee tutaijadili na mchezaji na wakala kama kawaida. Walakini, nina hakika kwamba soko la usajili litaendeshwa kwa thamani ndogo sana msimu huu kipindi cha majira ya joto. Hususani kwa vilabu vikubwa unaweza kuona vidonda vilivyoachwa na Corona, na sio vidogo vya kutibu ndani ya wiki mbili.' amesema Hans-Joachim Watzke

Thamani ya Sancho sokoni inatajwa kuwa ni pauni milioni 110 ambayo ni zaidi ya bilioni 354 kwa pesa za kitanznaia. Dau ambalo Manchester United waligoma kulipa kwenye dirisha la usajili lilopita, Jadon mwenye umri wa miaka 21 amefunga mabao 12 msimu huu kwenye michezo 31 kweye mashindano yote.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali